forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
863 B
Markdown
36 lines
863 B
Markdown
|
# baba katika mwili
|
||
|
|
||
|
Neno "mwili" hapa linamaanisha mwanadamu.
|
||
|
|
||
|
# kama warudiaji/ wanaotunidhamisha
|
||
|
|
||
|
wanao turudi
|
||
|
|
||
|
# Je hatupaswi hata zaidi kumtii Baba wa kiroho na kuishi?
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anatumia swali kusisitiza kwamba wangeweza kumtii Mungu Baba,
|
||
|
|
||
|
# na ishi
|
||
|
|
||
|
"ili kwamba tuishi"
|
||
|
|
||
|
# Baba wa roho
|
||
|
|
||
|
"Baba yetu wa kiroho" au Baba yetu wa mbinguni"
|
||
|
|
||
|
# ili tushiriki utakatifu wake
|
||
|
|
||
|
"ili kwamba tuwe watakatifu kama Mungu alivyo mtakatifu"
|
||
|
|
||
|
# tunda la amani
|
||
|
|
||
|
"Tunda" hapa ni alama na inaongelewa kana kwamba ni mtu aliye katika amani na ambaye alileta amani kwa wengine.
|
||
|
|
||
|
# tunda la utauwa
|
||
|
|
||
|
Utauwa, ni hali ya mtu anaye mtii Mungu, inaongelewa kana kwamba ni tunda linakuwa juu ya mti. Mwandishi hapa anasema kwamba utauwa unaongezeka kama matokeo ya kurudiwa.
|
||
|
|
||
|
# wale waliofundishwa nayo
|
||
|
|
||
|
"wale walio fundishwa kwa kurudiwa." Ambao Mungu amewafundisha kwa kuwarudi."
|