forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
469 B
Markdown
24 lines
469 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
"wao" ya kwanza ina maanisha Waisraeli, na "wao" ya pili inamaanisha Wamisri na "wao" ya tatu inamaanisha kuta za Yeriko.
|
|
|
|
# Walipita
|
|
|
|
Waisraeli walipita kupitia Bahari ya Shamu'
|
|
|
|
# Walimezwa
|
|
|
|
"Maji yaliwameza Wamisri"
|
|
|
|
# walimezwa
|
|
|
|
"Wamisri walizama ndani ya maji"
|
|
|
|
# Walikuwa wamezunguka kwa siku saba
|
|
|
|
"Waisrael walitembea kwa kuzunguka kuta kwa siku saba"
|
|
|
|
# Aliwapokea wapelelezi na kuwahifadhi salama
|
|
|
|
"Aliwaficha wapelelezi ili wawe salama
|