forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
476 B
Markdown
24 lines
476 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
Maneno ya Kristo alipokuwa duniani yalikuwa yamesemwa katika nukuu hii kutoka Zaburi ya Daudi.
|
|
|
|
# ambayo ulitamani
|
|
|
|
"Wewe" hapa ni nafsi ya umoja na inamaanisha Mungu.
|
|
|
|
# mliandaa
|
|
|
|
"kufanya tayari"
|
|
|
|
# kisha nilisema
|
|
|
|
"Nilisema" inamaanisha Kristo
|
|
|
|
# kama ilivyoandikwa katika gombo kuhusu mimi
|
|
|
|
Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: " kama manabii walivyoandika katika gombo kuhusu mimi"
|
|
|
|
# gombo
|
|
|
|
Hii inamaanisha maandiko au maandiko matakatifu.
|