sw_tn/heb/10/05.md

476 B

Maelezo ya Jumla:

Maneno ya Kristo alipokuwa duniani yalikuwa yamesemwa katika nukuu hii kutoka Zaburi ya Daudi.

ambayo ulitamani

"Wewe" hapa ni nafsi ya umoja na inamaanisha Mungu.

mliandaa

"kufanya tayari"

kisha nilisema

"Nilisema" inamaanisha Kristo

kama ilivyoandikwa katika gombo kuhusu mimi

Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: " kama manabii walivyoandika katika gombo kuhusu mimi"

gombo

Hii inamaanisha maandiko au maandiko matakatifu.