forked from WA-Catalog/sw_tn
728 B
728 B
Hakuingia kule
" Hakuingia mbinguni"
mwaka baada ya mwaka
"kila mwaka" au "mwaka baada ya mwa
na damu ya mwingine
Hii inamaanisha na damu ya mnyama wa kafara, na sio kwa damu yake mwenyewe.
na kama hiyo ilikuwa kweli/ sababu
"Kama alipaswa kutoa mara nyingi"
tangu mwanzo wa ulimwengu
Uumbaji wa dunia unaongelewa kana kwamba ni jengo na msingi wake ulikuwa sehemu ya kwanza kujengwa. AT: "tangu Mungu alipoanza kuiumba dunia"
amefunuliwa
Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "Mung amemfunua"
kuindoa dhambi kwa dhabihu yake mwenyewe
Hii inaongea kuhusu dhambi kana kwamba kilikuwa ni chombo ambach mtu angeweza kukiondoa. AT: "kumsababisha Mungu kusamehe dhambi kwa kujidhabihu mwenyewe"