forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
728 B
Markdown
28 lines
728 B
Markdown
|
# Hakuingia kule
|
||
|
|
||
|
" Hakuingia mbinguni"
|
||
|
|
||
|
# mwaka baada ya mwaka
|
||
|
|
||
|
"kila mwaka" au "mwaka baada ya mwa
|
||
|
|
||
|
# na damu ya mwingine
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha na damu ya mnyama wa kafara, na sio kwa damu yake mwenyewe.
|
||
|
|
||
|
# na kama hiyo ilikuwa kweli/ sababu
|
||
|
|
||
|
"Kama alipaswa kutoa mara nyingi"
|
||
|
|
||
|
# tangu mwanzo wa ulimwengu
|
||
|
|
||
|
Uumbaji wa dunia unaongelewa kana kwamba ni jengo na msingi wake ulikuwa sehemu ya kwanza kujengwa. AT: "tangu Mungu alipoanza kuiumba dunia"
|
||
|
|
||
|
# amefunuliwa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "Mung amemfunua"
|
||
|
|
||
|
# kuindoa dhambi kwa dhabihu yake mwenyewe
|
||
|
|
||
|
Hii inaongea kuhusu dhambi kana kwamba kilikuwa ni chombo ambach mtu angeweza kukiondoa. AT: "kumsababisha Mungu kusamehe dhambi kwa kujidhabihu mwenyewe"
|