sw_tn/heb/05/06.md

359 B

Maelezo ya Jumla:

Unabi huu unatoka katika Zabur ya Daudi.

kama asemavyo/ pia anasema

kwa yule ambaye Mungu anaongea naye inaweza kusemwa wazi. AT: "pia anamwambia Kristo"

katika sehemu nyingine

"katika sehemu nyingine katika maandiko"

mfano wa Melkizedeki

Hii inamaana kuwa Kristo kama kuhani ana vitu vinavyofananana Melkizedeki kama kuhani.