forked from WA-Catalog/sw_tn
359 B
359 B
Maelezo ya Jumla:
Unabi huu unatoka katika Zabur ya Daudi.
kama asemavyo/ pia anasema
kwa yule ambaye Mungu anaongea naye inaweza kusemwa wazi. AT: "pia anamwambia Kristo"
katika sehemu nyingine
"katika sehemu nyingine katika maandiko"
mfano wa Melkizedeki
Hii inamaana kuwa Kristo kama kuhani ana vitu vinavyofananana Melkizedeki kama kuhani.