forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
359 B
Markdown
16 lines
359 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Unabi huu unatoka katika Zabur ya Daudi.
|
||
|
|
||
|
# kama asemavyo/ pia anasema
|
||
|
|
||
|
kwa yule ambaye Mungu anaongea naye inaweza kusemwa wazi. AT: "pia anamwambia Kristo"
|
||
|
|
||
|
# katika sehemu nyingine
|
||
|
|
||
|
"katika sehemu nyingine katika maandiko"
|
||
|
|
||
|
# mfano wa Melkizedeki
|
||
|
|
||
|
Hii inamaana kuwa Kristo kama kuhani ana vitu vinavyofananana Melkizedeki kama kuhani.
|