sw_tn/heb/02/intro.md

557 B

Waebrania 02 Maelezo kwa jumla

Muundo na mpangilio

Sura hii inahusu jinsi Yesu ni bora kuliko Musa, Mwisraeli mkuu kuliko wote.

Watafsiri wengine wameweka kila msitari wa ushairi kulia kuliko maandishi mengine ili isomeke kwa urahisi. ULB inafanya hivi na ushairi katika 2:6-8, 12-13, ambayo ni maneno kutoka Agano la Kale.

Dhana muhimu katika sura hii

Ndugu

Huenda mwandishi anatumia neno "ndugu" kuashiria Wakristo waliokua kama Wayahudi.

<< | >>