sw_tn/heb/02/intro.md

20 lines
557 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2021-09-10 19:12:24 +00:00
# Waebrania 02 Maelezo kwa jumla
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Muundo na mpangilio
2021-09-10 19:12:24 +00:00
Sura hii inahusu jinsi Yesu ni bora kuliko Musa, Mwisraeli mkuu kuliko wote.
Watafsiri wengine wameweka kila msitari wa ushairi kulia kuliko maandishi mengine ili isomeke kwa urahisi. ULB inafanya hivi na ushairi katika 2:6-8, 12-13, ambayo ni maneno kutoka Agano la Kale.
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Dhana muhimu katika sura hii
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### Ndugu
2021-09-10 19:12:24 +00:00
Huenda mwandishi anatumia neno "ndugu" kuashiria Wakristo waliokua kama Wayahudi.
## Links:
* __[Hebrews 02:01 Notes](./01.md)__
2021-09-10 19:21:44 +00:00
__[<<](../01/intro.md) | [>>](../03/intro.md)__