forked from WA-Catalog/sw_tn
19 lines
559 B
Markdown
19 lines
559 B
Markdown
|
# Waebrania 02 Maelezo kwa jumla
|
||
|
|
||
|
### Muundo na mpangilio
|
||
|
|
||
|
Sura hii inahusu jinsi Yesu ni bora kuliko Musa, Mwisraeli mkuu kuliko wote.
|
||
|
|
||
|
Watafsiri wengine wameweka kila msitari wa ushairi kulia kuliko maandishi mengine ili isomeke kwa urahisi. ULB inafanya hivi na ushairi katika 2:6-8, 12-13, ambayo ni maneno kutoka Agano la Kale.
|
||
|
|
||
|
### Dhana muhimu katika sura hii
|
||
|
|
||
|
#### Ndugu
|
||
|
|
||
|
Huenda mwandishi anatumia neno "ndugu" kuashiria Wakristo waliokua kama Wayahudi.
|
||
|
|
||
|
## Links:
|
||
|
|
||
|
* __[Hebrews 02:01 Notes](./01.md)__
|
||
|
|
||
|
__[<<](../01/intro.md) | [>>](../03/intro.md)__
|