1.3 KiB
Kama ujumbe uliozungumzwa kupitia malaika
Wayahudi waliamini kuwa Mungu alisema sheria yake kupitia malaika. Hii inaweza kuelezewa katika mfumo tendaji. AT: "Kama ujumbe ambao Mungu aliongea kupitia malaika"
Kwa kuwa kama ujumbe
Mwandishi ana hakika kuwa mambo haya ni kweli. AT: "Kwa sababu ujumbe"
Ni halali
"ni sahihi au "kweli"
kila kosa na uasi hupokea adhabu ya haki
Neno kosa and uasi husimama kwa ajili ya watu ambao wana hatia kwa ajili ya dhambi hizi. AT: "kila mtu atendaye dhambi atapokea adhabu ya haki"
kosa na uasi
maneno haya mawili kimsingi yanamaanisha kitu kimoja.
tutapataje kuepuka kama tusipojali wokovu mku u kama huu?
Mwanadishi anatumia swali kusisitiza watu wata pokea adhabu kama watakataa wokovu wa Mungu kupitia Kristo. AT: "hivyo Mungu atatuadhibu kama hatuutilii manani ujumbe wake kuhusu vile Mungu atakavyo tuokoa!"
kutojali
"kutojali" au "kuona sio muhimu"
Huu ni waovu ambao kwanza ulitangazwa na Bwana
Hii inaweza kusemwa katika mtumo tendaji. AT: "Bwana mwenyewe kwanza alitangaza ujumbe vile atakavyo tuokoa"
na ametuthibitishia kupitia wale walio sikia
Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. " na wale walio siki ujumbe walituthibitishia"
kulingana namapenzi yake
" kama jinsi alivyopenda kufanya"