forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
1.3 KiB
Markdown
40 lines
1.3 KiB
Markdown
|
# Kama ujumbe uliozungumzwa kupitia malaika
|
||
|
|
||
|
Wayahudi waliamini kuwa Mungu alisema sheria yake kupitia malaika. Hii inaweza kuelezewa katika mfumo tendaji. AT: "Kama ujumbe ambao Mungu aliongea kupitia malaika"
|
||
|
|
||
|
# Kwa kuwa kama ujumbe
|
||
|
|
||
|
Mwandishi ana hakika kuwa mambo haya ni kweli. AT: "Kwa sababu ujumbe"
|
||
|
|
||
|
# Ni halali
|
||
|
|
||
|
"ni sahihi au "kweli"
|
||
|
|
||
|
# kila kosa na uasi hupokea adhabu ya haki
|
||
|
|
||
|
Neno kosa and uasi husimama kwa ajili ya watu ambao wana hatia kwa ajili ya dhambi hizi. AT: "kila mtu atendaye dhambi atapokea adhabu ya haki"
|
||
|
|
||
|
# kosa na uasi
|
||
|
|
||
|
maneno haya mawili kimsingi yanamaanisha kitu kimoja.
|
||
|
|
||
|
# tutapataje kuepuka kama tusipojali wokovu mku u kama huu?
|
||
|
|
||
|
Mwanadishi anatumia swali kusisitiza watu wata pokea adhabu kama watakataa wokovu wa Mungu kupitia Kristo. AT: "hivyo Mungu atatuadhibu kama hatuutilii manani ujumbe wake kuhusu vile Mungu atakavyo tuokoa!"
|
||
|
|
||
|
# kutojali
|
||
|
|
||
|
"kutojali" au "kuona sio muhimu"
|
||
|
|
||
|
# Huu ni waovu ambao kwanza ulitangazwa na Bwana
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kusemwa katika mtumo tendaji. AT: "Bwana mwenyewe kwanza alitangaza ujumbe vile atakavyo tuokoa"
|
||
|
|
||
|
# na ametuthibitishia kupitia wale walio sikia
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. " na wale walio siki ujumbe walituthibitishia"
|
||
|
|
||
|
# kulingana namapenzi yake
|
||
|
|
||
|
" kama jinsi alivyopenda kufanya"
|