forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
529 B
Markdown
20 lines
529 B
Markdown
# Na tupate kibali machoni pako
|
|
|
|
Hapa "macho" ina maana ya fikra na mawazo. "Na ufurahishwe na sisi"
|
|
|
|
# tupate kibali
|
|
|
|
Hii ina maana ya kwamba mtu anakubalika kwa mtu mwingine.
|
|
|
|
# katika nchi ya Misri
|
|
|
|
"katika nchi ya Misri" au "katika nchi yote ya Misri"
|
|
|
|
# hata leo
|
|
|
|
Hii ina maana katika kipindi ambacho mwandishi alikuwa akiandika haya.
|
|
|
|
# moja ya tano
|
|
|
|
tano- Neno la "tano" ni sehemu. "Wakati wa mavuno utagawanyisha mazao katika sehemu tano. Utatoa sehemu moja kwa Farao kwa ajili ya malipo na sehemu nne ni kwa ajili yenu"
|