sw_tn/gen/46/19.md

471 B

Asenathi

"Asenathi" ni jina la mwanamke ambaye Farao alimpa Yusufu kuwa mke wake.

Potifera

"Potifera" ni baba yake Asenathi.

kuhani wa Oni

Oni ni mji, ambao pia unajulikana kama Heliopolisi, ambao ulikuwa "Mji wa Jua" na makao ya kumuabudu mungu wa jua Ra.

Bela, Bekeri, Ashbeli, Gera, Naamani, Ehi, Roshi, Mupimu, Hupimu, na Ardi

Haya ni majina ya wanamume.

jumla yao kumi na wanne

Hii ina maana ya wana 14 na wajukuu waliokuwa wamehusiana na Raheli.