forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
471 B
Markdown
20 lines
471 B
Markdown
|
# Asenathi
|
||
|
|
||
|
"Asenathi" ni jina la mwanamke ambaye Farao alimpa Yusufu kuwa mke wake.
|
||
|
|
||
|
# Potifera
|
||
|
|
||
|
"Potifera" ni baba yake Asenathi.
|
||
|
|
||
|
# kuhani wa Oni
|
||
|
|
||
|
Oni ni mji, ambao pia unajulikana kama Heliopolisi, ambao ulikuwa "Mji wa Jua" na makao ya kumuabudu mungu wa jua Ra.
|
||
|
|
||
|
# Bela, Bekeri, Ashbeli, Gera, Naamani, Ehi, Roshi, Mupimu, Hupimu, na Ardi
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya wanamume.
|
||
|
|
||
|
# jumla yao kumi na wanne
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana ya wana 14 na wajukuu waliokuwa wamehusiana na Raheli.
|