forked from WA-Catalog/sw_tn
318 B
318 B
Wakamwambia
"Wakamwambia Yakobo"
maneno yote ya Yusufu aliyokuwa amewaambia
Hapa "maneno" yana maana ya kile kilichosemwa. "kila kitu ambacho Yusufu alikisema kwao"
roho ya Yakobo baba yao ikafufuka
Neno la "roho" lina maana ya mtu mzima. "Yakobo baba yao alipona" au "Yakobo baba yao akawa na furaha sana"