sw_tn/gen/45/27.md

318 B

Wakamwambia

"Wakamwambia Yakobo"

maneno yote ya Yusufu aliyokuwa amewaambia

Hapa "maneno" yana maana ya kile kilichosemwa. "kila kitu ambacho Yusufu alikisema kwao"

roho ya Yakobo baba yao ikafufuka

Neno la "roho" lina maana ya mtu mzima. "Yakobo baba yao alipona" au "Yakobo baba yao akawa na furaha sana"