forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
318 B
Markdown
12 lines
318 B
Markdown
|
# Wakamwambia
|
||
|
|
||
|
"Wakamwambia Yakobo"
|
||
|
|
||
|
# maneno yote ya Yusufu aliyokuwa amewaambia
|
||
|
|
||
|
Hapa "maneno" yana maana ya kile kilichosemwa. "kila kitu ambacho Yusufu alikisema kwao"
|
||
|
|
||
|
# roho ya Yakobo baba yao ikafufuka
|
||
|
|
||
|
Neno la "roho" lina maana ya mtu mzima. "Yakobo baba yao alipona" au "Yakobo baba yao akawa na furaha sana"
|