sw_tn/gen/41/07.md

40 lines
903 B
Markdown

# Masuke membamba
Maneno "ya mbegu" inaeleweka. "Vichwa vyembamba vya mbegu"
# yakayameza
"wakala". Farao anaota ya kwamba mahindi ambayo hayana afya yanaweza kumeza mahindi yenye afya kama mtu anavyokula chakula.
# masuke saba mema yote
"vichwa vyenye afya na vizuri"
# akaamka
"aliamshwa"
# tazama
Neno "tazama" hapa linaonyesha ya kwamba Farao alishangazwa na kile alichokiona.
# ilikuwa ni ndoto
"alikuwa akiota"
# Ikawa
Msemo huu unatumika kuweka alama ya mwanzo wa sehemu mpya ya simulizi.
# roho yake ikafadhaika
Hapa neno "roho" lina maana ya utu wake na hisia zake. "alifadhaishwa ndani ya utu wake" au "alisononeshwa"
# Akatuma na kuwaita
Inaeleweka ya kwamba aliwatuma watumishi. "Alituma watumishi wake kuwaita" au "Aliwatuma watumishi wake na kuwaita"
# waganga na wenye hekima wote wa Misri
Wafalme wa zamani na watawala walitumia wachawi na wenye hekima kama washauri.