forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
903 B
Markdown
40 lines
903 B
Markdown
|
# Masuke membamba
|
||
|
|
||
|
Maneno "ya mbegu" inaeleweka. "Vichwa vyembamba vya mbegu"
|
||
|
|
||
|
# yakayameza
|
||
|
|
||
|
"wakala". Farao anaota ya kwamba mahindi ambayo hayana afya yanaweza kumeza mahindi yenye afya kama mtu anavyokula chakula.
|
||
|
|
||
|
# masuke saba mema yote
|
||
|
|
||
|
"vichwa vyenye afya na vizuri"
|
||
|
|
||
|
# akaamka
|
||
|
|
||
|
"aliamshwa"
|
||
|
|
||
|
# tazama
|
||
|
|
||
|
Neno "tazama" hapa linaonyesha ya kwamba Farao alishangazwa na kile alichokiona.
|
||
|
|
||
|
# ilikuwa ni ndoto
|
||
|
|
||
|
"alikuwa akiota"
|
||
|
|
||
|
# Ikawa
|
||
|
|
||
|
Msemo huu unatumika kuweka alama ya mwanzo wa sehemu mpya ya simulizi.
|
||
|
|
||
|
# roho yake ikafadhaika
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "roho" lina maana ya utu wake na hisia zake. "alifadhaishwa ndani ya utu wake" au "alisononeshwa"
|
||
|
|
||
|
# Akatuma na kuwaita
|
||
|
|
||
|
Inaeleweka ya kwamba aliwatuma watumishi. "Alituma watumishi wake kuwaita" au "Aliwatuma watumishi wake na kuwaita"
|
||
|
|
||
|
# waganga na wenye hekima wote wa Misri
|
||
|
|
||
|
Wafalme wa zamani na watawala walitumia wachawi na wenye hekima kama washauri.
|