sw_tn/gen/41/07.md

903 B

Masuke membamba

Maneno "ya mbegu" inaeleweka. "Vichwa vyembamba vya mbegu"

yakayameza

"wakala". Farao anaota ya kwamba mahindi ambayo hayana afya yanaweza kumeza mahindi yenye afya kama mtu anavyokula chakula.

masuke saba mema yote

"vichwa vyenye afya na vizuri"

akaamka

"aliamshwa"

tazama

Neno "tazama" hapa linaonyesha ya kwamba Farao alishangazwa na kile alichokiona.

ilikuwa ni ndoto

"alikuwa akiota"

Ikawa

Msemo huu unatumika kuweka alama ya mwanzo wa sehemu mpya ya simulizi.

roho yake ikafadhaika

Hapa neno "roho" lina maana ya utu wake na hisia zake. "alifadhaishwa ndani ya utu wake" au "alisononeshwa"

Akatuma na kuwaita

Inaeleweka ya kwamba aliwatuma watumishi. "Alituma watumishi wake kuwaita" au "Aliwatuma watumishi wake na kuwaita"

waganga na wenye hekima wote wa Misri

Wafalme wa zamani na watawala walitumia wachawi na wenye hekima kama washauri.