sw_tn/gen/40/18.md

459 B

Tafsiri ni hii

"Hii ndio maana ya ndoto"

Vikapu vitatu ni siku tatu

"Vikapu vitatu vinawakilisha siku tatu"

atakiinua kichwa chako kutoka kwako

Yusufu pia alitumia msemo huu "atainua kichwa chako" alipoongea kwa mnyweshaji katika 40:12. Hapa ina maana tofauti. Maana zaweza kuwa 1) "atainua kichwa chako na kuweka kamba katika shingo yako" au 2) "atainua kichwa chako kukikata"

mwili

Hapa "mwili" una maana ya sehemu laini katika mwili wa mtu.