forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
459 B
Markdown
16 lines
459 B
Markdown
|
# Tafsiri ni hii
|
||
|
|
||
|
"Hii ndio maana ya ndoto"
|
||
|
|
||
|
# Vikapu vitatu ni siku tatu
|
||
|
|
||
|
"Vikapu vitatu vinawakilisha siku tatu"
|
||
|
|
||
|
# atakiinua kichwa chako kutoka kwako
|
||
|
|
||
|
Yusufu pia alitumia msemo huu "atainua kichwa chako" alipoongea kwa mnyweshaji katika 40:12. Hapa ina maana tofauti. Maana zaweza kuwa 1) "atainua kichwa chako na kuweka kamba katika shingo yako" au 2) "atainua kichwa chako kukikata"
|
||
|
|
||
|
# mwili
|
||
|
|
||
|
Hapa "mwili" una maana ya sehemu laini katika mwili wa mtu.
|