forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
513 B
Markdown
24 lines
513 B
Markdown
# Tafsiri yake ni hii
|
|
|
|
"Hivi ndivyo ndoto inavyomaanisha"
|
|
|
|
# Yale matawi matatu ni siku tatu
|
|
|
|
"Matawi matatu yanawakilisha siku tatu"
|
|
|
|
# Ndani ya siku tatu
|
|
|
|
"Katika siku tatu zaidi"
|
|
|
|
# atakiinua kichwa chako
|
|
|
|
Hapa Yusufu anaongea na Farao kumuachia mnyweshaji kutoka gerezani kana kwamba Farao alisababisha yeye kuinua kichwa chake. "atakuachia kutoka gerezani"
|
|
|
|
# kukurudisha katika nafasi yako
|
|
|
|
"atakurudishia kazi yako"
|
|
|
|
# kama ulivyokuwa
|
|
|
|
Maneno ambayo hayapo yanaweza kuongezwa. "kama ulivyofanya ulipokuwa"
|