sw_tn/gen/40/12.md

513 B

Tafsiri yake ni hii

"Hivi ndivyo ndoto inavyomaanisha"

Yale matawi matatu ni siku tatu

"Matawi matatu yanawakilisha siku tatu"

Ndani ya siku tatu

"Katika siku tatu zaidi"

atakiinua kichwa chako

Hapa Yusufu anaongea na Farao kumuachia mnyweshaji kutoka gerezani kana kwamba Farao alisababisha yeye kuinua kichwa chake. "atakuachia kutoka gerezani"

kukurudisha katika nafasi yako

"atakurudishia kazi yako"

kama ulivyokuwa

Maneno ambayo hayapo yanaweza kuongezwa. "kama ulivyofanya ulipokuwa"