forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
845 B
Markdown
32 lines
845 B
Markdown
# Ikawa
|
|
|
|
Msemo huu unatumika hapa kuweka alama ya tukio jipya la simulizi.
|
|
|
|
# mnyweshaji
|
|
|
|
Huyu ni mtu ambaye huleta vinywaji kwa mfalme.
|
|
|
|
# mwokaji wa mfalime
|
|
|
|
Huyu ni mtu ambaye alitengeneza chakula cha mfalme.
|
|
|
|
# walimkosa bwana wao
|
|
|
|
"walimkwaza bwana wao"
|
|
|
|
# maafsa wawili, mkuu wa wanyweshaji na mkuu wa waokaji
|
|
|
|
""mnyweshaji kiongozi na mwokaji kiongozi"
|
|
|
|
# Akawaweka katika lindo katika nyumba ya kapteni wa walinzi
|
|
|
|
"Akawaweka katika gereza liliokuwa katika nyumba ambayo ilisimamiwa na kapteni wa walinzi"
|
|
|
|
# Akawaweka
|
|
|
|
Mflame hakuwaweka gerezani lakini aliwaamuru wafungwe. "Akafanya wawekwe" au "Aliamuru walinzi wake kuwaweka"
|
|
|
|
# katika gereza lile Yusufu alimofungwa
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Hili lilikuwa gereza lile lile ambalo Yusufu alikuwemo" au "Hili lilikuwa gereza lile lile ambalo Potifa alimweka Yusufu"
|