sw_tn/gen/36/34.md

482 B

Yobabu

Hili ni jina la mwanamume.

Hushamu ... Hadadi ... Bedadi ... Samla

Haya ni majina ya wanamume.

Hushamu aliyekuwa wa nchi ya Watemani

Hii ina maanisha Hushani aliishi katika nchi ya Watemani. "Hushami aliyeishi katika nchi ya Watemani"

Avithi ... Masreka

Haya ni majina ya mahali.

Watemani

"vizazi vya Temani"

Jina la mji wake

Hii ina maana ya kwamba huu ulikuwa mji ambao aliishi. "Jina la mji ambao aliishi"

Samla wa Masreka

"Samra wa Masreka"