forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
482 B
Markdown
28 lines
482 B
Markdown
|
# Yobabu
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mwanamume.
|
||
|
|
||
|
# Hushamu ... Hadadi ... Bedadi ... Samla
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya wanamume.
|
||
|
|
||
|
# Hushamu aliyekuwa wa nchi ya Watemani
|
||
|
|
||
|
Hii ina maanisha Hushani aliishi katika nchi ya Watemani. "Hushami aliyeishi katika nchi ya Watemani"
|
||
|
|
||
|
# Avithi ... Masreka
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya mahali.
|
||
|
|
||
|
# Watemani
|
||
|
|
||
|
"vizazi vya Temani"
|
||
|
|
||
|
# Jina la mji wake
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana ya kwamba huu ulikuwa mji ambao aliishi. "Jina la mji ambao aliishi"
|
||
|
|
||
|
# Samla wa Masreka
|
||
|
|
||
|
"Samra wa Masreka"
|