forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
285 B
Markdown
12 lines
285 B
Markdown
# nguzo
|
|
|
|
Hii ni nguzo ya ukumbusho ambayo ilikuwa jiwe au jabali kubwa iliyowekwa mwishoni pake.
|
|
|
|
# Akamimina juu yake sadaka ya kinywaji na akamimina mafuta juu yake
|
|
|
|
Hii ni ishara ya kwamba anaweka wakfu nguzo kwa Mungu.
|
|
|
|
# Betheli
|
|
|
|
"Jina la Betheli lina maana ya "nyumba ya Mungu".
|