sw_tn/gen/35/14.md

285 B

nguzo

Hii ni nguzo ya ukumbusho ambayo ilikuwa jiwe au jabali kubwa iliyowekwa mwishoni pake.

Akamimina juu yake sadaka ya kinywaji na akamimina mafuta juu yake

Hii ni ishara ya kwamba anaweka wakfu nguzo kwa Mungu.

Betheli

"Jina la Betheli lina maana ya "nyumba ya Mungu".