sw_tn/gen/35/14.md

12 lines
285 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# nguzo
Hii ni nguzo ya ukumbusho ambayo ilikuwa jiwe au jabali kubwa iliyowekwa mwishoni pake.
# Akamimina juu yake sadaka ya kinywaji na akamimina mafuta juu yake
Hii ni ishara ya kwamba anaweka wakfu nguzo kwa Mungu.
# Betheli
"Jina la Betheli lina maana ya "nyumba ya Mungu".