forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
678 B
Markdown
32 lines
678 B
Markdown
# Luzu
|
|
|
|
Hili ni jina la mji.
|
|
|
|
# El Betheli
|
|
|
|
"Jina la El Betheli lina maana ya "Mungu wa Betheli"
|
|
|
|
# Mungu alikuwa amejifunua kwake
|
|
|
|
"pale Mungu alijifunua kwa Yakobo"
|
|
|
|
# Debora
|
|
|
|
Hili ni jina la mwanamke.
|
|
|
|
# mlezi wa Rebeka
|
|
|
|
Mlezi ni mwanamke ambaye humtunza mtoto wa mwanamke mwingine. Mlezi aliheshimika na alikuwa muhimu sana kwa familia.
|
|
|
|
# Akazikwa chini kutoka Betheli
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Walimzika chini kutoka Betheli"
|
|
|
|
# chini kutoka Betheli
|
|
|
|
Msemo "chini kutoka" unatumika kwa sababu walimzika katika eneo ambalo lilikuwa chini kwa mwinuko kuliko Betheli.
|
|
|
|
# Aloni Bakuthi.
|
|
|
|
"Jina la Aloni Bakuthi lina maana ya "Mwaloni ambapo kuna maombolezo"
|