sw_tn/gen/35/06.md

678 B

Luzu

Hili ni jina la mji.

El Betheli

"Jina la El Betheli lina maana ya "Mungu wa Betheli"

Mungu alikuwa amejifunua kwake

"pale Mungu alijifunua kwa Yakobo"

Debora

Hili ni jina la mwanamke.

mlezi wa Rebeka

Mlezi ni mwanamke ambaye humtunza mtoto wa mwanamke mwingine. Mlezi aliheshimika na alikuwa muhimu sana kwa familia.

Akazikwa chini kutoka Betheli

Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Walimzika chini kutoka Betheli"

chini kutoka Betheli

Msemo "chini kutoka" unatumika kwa sababu walimzika katika eneo ambalo lilikuwa chini kwa mwinuko kuliko Betheli.

Aloni Bakuthi.

"Jina la Aloni Bakuthi lina maana ya "Mwaloni ambapo kuna maombolezo"