sw_tn/gen/34/14.md

460 B

Wakawambia

"wana wa Yakobo waliwaambia Shekemu na Hamori"

Hatuwezi kufanya jambo hili, kumpa dada yetu

"Hatuwezi kukubali kumtoa Dina katika ndoa"

kwani hiyo ni aibu kwetu

"kwa maana hiyo itasababisha aibu kwetu". Hapa "kwetu" ina maana ya wana wa Yakobo na watu wote wa Israeli.

tutakapowapa binti zetu ... tutachukua binti zenu kwetu sisi wenyewe

Hii ina maana wataruhusu mtu kutoka familia ya Yakobo kuoa mtu anayeishi katika nchi ya Hamori.