forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
460 B
Markdown
16 lines
460 B
Markdown
|
# Wakawambia
|
||
|
|
||
|
"wana wa Yakobo waliwaambia Shekemu na Hamori"
|
||
|
|
||
|
# Hatuwezi kufanya jambo hili, kumpa dada yetu
|
||
|
|
||
|
"Hatuwezi kukubali kumtoa Dina katika ndoa"
|
||
|
|
||
|
# kwani hiyo ni aibu kwetu
|
||
|
|
||
|
"kwa maana hiyo itasababisha aibu kwetu". Hapa "kwetu" ina maana ya wana wa Yakobo na watu wote wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# tutakapowapa binti zetu ... tutachukua binti zenu kwetu sisi wenyewe
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana wataruhusu mtu kutoka familia ya Yakobo kuoa mtu anayeishi katika nchi ya Hamori.
|