sw_tn/gen/33/04.md

601 B

kumlaki

"kukutana na Yakobo"

akamkumbatia, akakumbatia shingo yake na kumbusu

Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi mpya. "Esau aliweka mikono yake kumzunguka Yakobo, kumkumbatia, na kumbusu"

Kisha wakalia

Hii inaweza kusemwa kwa uwazi zaidi. "Kisha Esau na Yakobo wakalia kwa sababu walikuwa na furaha kuonana tena"

aliona wanawake na watoto

"akawaona wanawake na watoto waliokuwa na Yakobo"

Ni watoto ambao Mungu amempa mtumishi wako

Msemo "mtumishi wako" ni njia ya upole ya Yakobo akimaanisha yeye mwenyewe. "Hawa ni watoto ambao Mungu amenipatia mtumishi wako, kwa neema yake"