forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
601 B
Markdown
20 lines
601 B
Markdown
|
# kumlaki
|
||
|
|
||
|
"kukutana na Yakobo"
|
||
|
|
||
|
# akamkumbatia, akakumbatia shingo yake na kumbusu
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi mpya. "Esau aliweka mikono yake kumzunguka Yakobo, kumkumbatia, na kumbusu"
|
||
|
|
||
|
# Kisha wakalia
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kusemwa kwa uwazi zaidi. "Kisha Esau na Yakobo wakalia kwa sababu walikuwa na furaha kuonana tena"
|
||
|
|
||
|
# aliona wanawake na watoto
|
||
|
|
||
|
"akawaona wanawake na watoto waliokuwa na Yakobo"
|
||
|
|
||
|
# Ni watoto ambao Mungu amempa mtumishi wako
|
||
|
|
||
|
Msemo "mtumishi wako" ni njia ya upole ya Yakobo akimaanisha yeye mwenyewe. "Hawa ni watoto ambao Mungu amenipatia mtumishi wako, kwa neema yake"
|