sw_tn/gen/31/07.md

456 B

amenidanganya

"amenidanganya" au "hajanitendea haki"

ujira wangu

"alichosema atanilipa"

kunidhuru

Maana zaweza kuwa 1) kudhuru kwa mwili au 2) kusababisha Yakobo ateseke kwa namna yoyote.

Wanyama wenye mabaka

"Wanyama wenye madoa"

kondoo wote walipozaa

"mifugo wakazaa"

wenye milia

"Wanyama wenye milia"

Kwa njia hii Mungu amemnyang'anya mifugo baba yenu na kunipa mimi

"Hivi ndivyo Mungu aliwapatia wanyama wa baba yenu kwangu"