forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
456 B
Markdown
28 lines
456 B
Markdown
|
# amenidanganya
|
||
|
|
||
|
"amenidanganya" au "hajanitendea haki"
|
||
|
|
||
|
# ujira wangu
|
||
|
|
||
|
"alichosema atanilipa"
|
||
|
|
||
|
# kunidhuru
|
||
|
|
||
|
Maana zaweza kuwa 1) kudhuru kwa mwili au 2) kusababisha Yakobo ateseke kwa namna yoyote.
|
||
|
|
||
|
# Wanyama wenye mabaka
|
||
|
|
||
|
"Wanyama wenye madoa"
|
||
|
|
||
|
# kondoo wote walipozaa
|
||
|
|
||
|
"mifugo wakazaa"
|
||
|
|
||
|
# wenye milia
|
||
|
|
||
|
"Wanyama wenye milia"
|
||
|
|
||
|
# Kwa njia hii Mungu amemnyang'anya mifugo baba yenu na kunipa mimi
|
||
|
|
||
|
"Hivi ndivyo Mungu aliwapatia wanyama wa baba yenu kwangu"
|