sw_tn/gen/24/47.md

642 B

Taarifa ya Jumla

Mtumishi wa Abrahamu anaendelea kuzungumza kwa familia ya Rebeka.

Binti wa Bethueli, Mwana wa Nahori, ambaye Milka alizaa kwake

"Baba yangu Bethueli. Wazazi wake ni Nahori na Milka"

pete ... bangili

Katika simulizi hii, vitu vyote hivi vilikuwa vya dhahabu.

nikainama

Hii ni ishara ya unyenyekevu mbele za Mungu.

ameniongoza katika njia sahihi

"amenileta hapa"

ambaye ameniongoza

Neno la kiunganishi "kwa sababu" linaweza kutumika kuonyesha hii ni sababu mtumishi alimuabudu Mungu. "kwa sababu Yahwe aliniongoza"

ndugu za bwana wangu

Hii ina maana ya Bethueli, mwana wa Abrahamu kaka yake Nahori.