forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
642 B
Markdown
28 lines
642 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Mtumishi wa Abrahamu anaendelea kuzungumza kwa familia ya Rebeka.
|
||
|
|
||
|
# Binti wa Bethueli, Mwana wa Nahori, ambaye Milka alizaa kwake
|
||
|
|
||
|
"Baba yangu Bethueli. Wazazi wake ni Nahori na Milka"
|
||
|
|
||
|
# pete ... bangili
|
||
|
|
||
|
Katika simulizi hii, vitu vyote hivi vilikuwa vya dhahabu.
|
||
|
|
||
|
# nikainama
|
||
|
|
||
|
Hii ni ishara ya unyenyekevu mbele za Mungu.
|
||
|
|
||
|
# ameniongoza katika njia sahihi
|
||
|
|
||
|
"amenileta hapa"
|
||
|
|
||
|
# ambaye ameniongoza
|
||
|
|
||
|
Neno la kiunganishi "kwa sababu" linaweza kutumika kuonyesha hii ni sababu mtumishi alimuabudu Mungu. "kwa sababu Yahwe aliniongoza"
|
||
|
|
||
|
# ndugu za bwana wangu
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana ya Bethueli, mwana wa Abrahamu kaka yake Nahori.
|