forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
874 B
Markdown
32 lines
874 B
Markdown
# Itakuwaje
|
|
|
|
"nitafanyaje iwapo"
|
|
|
|
# hatakuwa tayari kufuatana nami
|
|
|
|
"hatanifuata" au "akikataa kurudi pamoja nami"
|
|
|
|
# Je nitamrudisha mwanao katika nchi ambayo ulitoka
|
|
|
|
"Je nimchukue mwanao kuishi katika nchi ambayo umetoka"
|
|
|
|
# Hakikisha kwamba hutamrudisha mwanangu kule
|
|
|
|
Msemo "hakikisha" unasisitiza amri inayofuata. "Kuwa mwangalifu usimpeleke mwanangu kule" au "Hakika hautakiwi kumpeleka mwanangu kule"
|
|
|
|
# ambaye alinitoa mimi kutoka katika nyumba ya baba yangu
|
|
|
|
Hapa "nyumba" ina maana ya watu katika familia. "aliyenichukua kutoka kwa baba na familia yangu yote"
|
|
|
|
# aliniahidia kwa kiapo maalumu
|
|
|
|
"aliapa kiapo kwangu"
|
|
|
|
# akisema, 'Nitawapa uzao wako nchi hii,'
|
|
|
|
Hii ni nukuu ndani ya nukuu. Inaweza kuwekwa kama nukuu isiyo moja kwa moja. "akisema kwamba angempataia nchi hii kwa uzao wake"
|
|
|
|
# atatuma malaika wake
|
|
|
|
Maneno "atatuma" na ":wake" yana maana ya Yahwe.
|