sw_tn/gen/21/19.md

575 B

Mungu akayafunua macho ya Hajiri

Mungu kumfanya Hajiri aweze kuona kisima inazungumzwa kana kwamba alimfungua macho kihalisia. "Mungu alisababisha Hajiri kuona" au "Mungu alimuonyesha Hajiri"

kiriba

"chombo kilichoundwa na ngozi" au "mfuko"

kijana

"mvulana" au "Ishameli"

Mungu akawa pamoja na kijana

Hapa msemo wa "akawa pamoja" ni lahaja ambayo ina maana ya Mungu alimsaidia au alimbariki mvulana. "Mungu alimuongoza mvulana" au "Mungu alimbariki mvulana"

akawa mwindaji

"akawa na uwezo sana wa kutumia upinde na mishale"

akampatia mke

"akapata mke"