forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
575 B
Markdown
24 lines
575 B
Markdown
|
# Mungu akayafunua macho ya Hajiri
|
||
|
|
||
|
Mungu kumfanya Hajiri aweze kuona kisima inazungumzwa kana kwamba alimfungua macho kihalisia. "Mungu alisababisha Hajiri kuona" au "Mungu alimuonyesha Hajiri"
|
||
|
|
||
|
# kiriba
|
||
|
|
||
|
"chombo kilichoundwa na ngozi" au "mfuko"
|
||
|
|
||
|
# kijana
|
||
|
|
||
|
"mvulana" au "Ishameli"
|
||
|
|
||
|
# Mungu akawa pamoja na kijana
|
||
|
|
||
|
Hapa msemo wa "akawa pamoja" ni lahaja ambayo ina maana ya Mungu alimsaidia au alimbariki mvulana. "Mungu alimuongoza mvulana" au "Mungu alimbariki mvulana"
|
||
|
|
||
|
# akawa mwindaji
|
||
|
|
||
|
"akawa na uwezo sana wa kutumia upinde na mishale"
|
||
|
|
||
|
# akampatia mke
|
||
|
|
||
|
"akapata mke"
|