forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
453 B
Markdown
12 lines
453 B
Markdown
# Mtoto akakua ... Isaka aliachishwa
|
|
|
|
"aliachishwa" ni lugha ya upole ya kusema mtoto alimaliza kunyonyeshwa. "Isaka akakua, na pale alipokuwa hahitaji tena kunyonya, Abrahamu aliandaa karamu kubwa"
|
|
|
|
# mwana wa Hajiri Mmisri, ambaye alikuwa amezaliwa kwa Abrahamu
|
|
|
|
Jina la mwana wa Hajiri linaweza kuwekwa wazi. "Ishmaeli, mwana wa Hajiri Mmisri na Abrahamu"
|
|
|
|
# akidhihaki
|
|
|
|
Inaweza kuwekwa wazi ya kwamba alimzomea au alimcheka Isaka. "alimcheka Isaka"
|