forked from WA-Catalog/sw_tn
453 B
453 B
Mtoto akakua ... Isaka aliachishwa
"aliachishwa" ni lugha ya upole ya kusema mtoto alimaliza kunyonyeshwa. "Isaka akakua, na pale alipokuwa hahitaji tena kunyonya, Abrahamu aliandaa karamu kubwa"
mwana wa Hajiri Mmisri, ambaye alikuwa amezaliwa kwa Abrahamu
Jina la mwana wa Hajiri linaweza kuwekwa wazi. "Ishmaeli, mwana wa Hajiri Mmisri na Abrahamu"
akidhihaki
Inaweza kuwekwa wazi ya kwamba alimzomea au alimcheka Isaka. "alimcheka Isaka"