sw_tn/gen/19/36.md

441 B

wakapata mimba kwa baba yao

"wakawa mimba kupitia baba yao" au "wakapatawatoto kwa baba yao"

Akawa

"Yeye ndiye"

wamoabu hata leo

"Wamoabu ambao wanaishi sasa"

hata leo

Neno "leo" lina maana ya kipindi ambapo mwandishi wa Mwanzo alipokuwa hai. Mwandishi alizaliwa na kuandika haya miaka mingi baada ya familia ya Lutu kuishi na kufa.

Benami

Hili ni jina la mwanamume.

watu wa Waamoni

"uzao wa Amoni" au "Watu wa Amoni"