forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
441 B
Markdown
24 lines
441 B
Markdown
|
# wakapata mimba kwa baba yao
|
||
|
|
||
|
"wakawa mimba kupitia baba yao" au "wakapatawatoto kwa baba yao"
|
||
|
|
||
|
# Akawa
|
||
|
|
||
|
"Yeye ndiye"
|
||
|
|
||
|
# wamoabu hata leo
|
||
|
|
||
|
"Wamoabu ambao wanaishi sasa"
|
||
|
|
||
|
# hata leo
|
||
|
|
||
|
Neno "leo" lina maana ya kipindi ambapo mwandishi wa Mwanzo alipokuwa hai. Mwandishi alizaliwa na kuandika haya miaka mingi baada ya familia ya Lutu kuishi na kufa.
|
||
|
|
||
|
# Benami
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mwanamume.
|
||
|
|
||
|
# watu wa Waamoni
|
||
|
|
||
|
"uzao wa Amoni" au "Watu wa Amoni"
|