forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
969 B
Markdown
28 lines
969 B
Markdown
# tazama
|
|
|
|
Neno "tazama" hapa linatuamsha kuwa makini kwa taarifa ya kushangaza inayofuata.
|
|
|
|
# moshi wenye moto na miali ya mwanga ilipita kati ya vile vipande
|
|
|
|
Mungu alifanya hivi kumuonyesha Abramu ya kuwa alikuwa akifanya agano na yeye.
|
|
|
|
# ilipita kati ya vile vipande
|
|
|
|
"ilipita katikati ya mistari miwili ya vipande vya wanyama"
|
|
|
|
# agano
|
|
|
|
Katika agano hili Mungu alimuahidi kumbariki Abramu, naye ataendelea kumbariki ikiwa Abramu ataendelea kumfuata yeye.
|
|
|
|
# Ninatoa nchi hii
|
|
|
|
Kwa kusema hivi, Mungu alikuwa akiwapa uzao wa Abramu nchi. Mungu alikuwa akifanya hivi, lakini uzao hawakuweza kwenda katika nchi hadi baada ya miaka mingi baadae.
|
|
|
|
# mto mkuu, Frati
|
|
|
|
"mto mkubwa, Frati". Hizi ni njia mbili zinazoelezea mto mmoja.
|
|
|
|
# Mkeni , Mkenizi, na Mkadmoni, Mhiti, Mperizi, Mrefai, Mwamori, Mkanaani, Mgirgashi, na Myebusi.
|
|
|
|
Haya ni majina ya makundi ya watu ambao waliishi katika nchi. Mungu angeruhusu uzao wa Abrahamu kuwashinda watu hawa na kuchukua nchi yao.
|