forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
582 B
Markdown
20 lines
582 B
Markdown
# Akamwamini Yahwe
|
|
|
|
Hii ina maana alipokea na kuamini kile Yahwe alichosema ni kweli.
|
|
|
|
# akamuhesabia jambo hili kuwa mwenye haki
|
|
|
|
"Yahwe alimhesabia imani ya Abramu kama haki" au "Yahwe alimchukulia Abramu kuwa na haki kwa sababu Abramu alimuamini"
|
|
|
|
# Mimi ni Yahwe, niliye kutoa katika Uru
|
|
|
|
Yahwe alikuwa akimkumbusha Abrahamu kile alichokuwa amefanya ili Abrahamu aweze kumjua Yahwe alikuwa na nguvu kumpatia Abramu kile alichomuahidi.
|
|
|
|
# kuirithi
|
|
|
|
"kukipokea" au "ili kwamba ukimiliki"
|
|
|
|
# nitajua je
|
|
|
|
Abramu alikuwa akiulizia ushahidi zaidi ya kwamba Yahwe atampatia ile nchi.
|